script>" " ".

Get our Android App in Playstore DOWNLOAD HERE!

X




Tabia za kuku mgonjwa

 Kuku asie na afya huonesha hizi dalili.
  •    Kuku huchoka na kupoteza furaha
  •    Macho yaliofifi na upanga legevu
  •    Hulala na kusinzia wakati wote
  •    Hula na kunywa kidogo
  •    Hupunguza kutaga mayai
  •    Hushusha manyoya na manyoya hutimka
  •    Kinyesi chenye maji maji  na mara nyingine damu au minyoo
  •    Kuku hukohoa na kupumua kwa tabu sana                                                                                   ..................................

0 comments:

 
Top