script>" " ".

Get our Android App in Playstore DOWNLOAD HERE!

X








Mchangayiko Wa chakula kwajili ya ng'ombe wa maziwa/Dairy Cow

Majani mabichi 10% ya uzito wa mwili wake.


Majani makavu kilo 6, kuhusu virutubisho vingine mhimu ni kilo mbili za mchanyiko wa vitu vifuatavyo,

1)Shayiri/Ngano  30 Kg

2)Paraza ya mahindi  34 Kg

3)Mashudu ya alizeti  11 Kg

4)Mashudu ua pamba  13 Kg

5)Soya  8 Kg

6)Chumvi  0.5 Kg
7)Mchanganyiko wa madini maalum  1.5 Kg.

8) Mifupa/DCP.  2.0Kg

Jumla inakuwa  100 Kg.

.............................................................................








0 comments:

 
Top