*Orodha ya magonjwa yatokanayo na Lishe Duni*
*1:Matege(Ricketts)*
*2:Kuvunjika mifupa.*
*3:Kudonoana manyoya*
*1:MATEGE (RICKETTS)*
*huwapata vifaranga wanaokuwa na husababisha mifupa kuwa Laini na iliyolemaa na kufanywa washindwe kutembea*
*KISABABISHI:*
*upungufu wa kukosa uwiano wa madini ya Chokaa, Phoshorus na Vitamin D*
*DALILI*
*A:Miguu hupinda.*
*B:Ncha za Mifupa mirefu huvimba.*
*C:Mifupa huwa laini.*
*D:Kutembea kwa shida.*
*TIBA*
*wapewe madini ya vitamin D Kwa kiasi kinachotakiwa. Hii ni Kwa sababu madini ya phosphorus yakizidi husababisha madini ya Chokaa hupungua.*
*2:KUVUNJIKA MIFUPA.*

*DALILI*
*kushindwa kutembea, Kula,kupungua uzito n.k*
*KUZUIA.*
*A:kuku wapewe chakula chenye madini ya kutosha kilingana na Mahitaji.*
*B:Epuka mazingira yanayoweza kuku kuvunjika.*
*3:KUDONOANA MANYOYA.*
*Hii ni tabia mbaya kwenye kuku na bata mzinga ambayo hujitokeza Kwa kudonoana manyoya sehemu za nyuma Au kudonoana ngozi maeneo yasiyo na manyoya kama vile kichwani, mapanga, na vidole.*
*KISABABISHI/CAUSATIVE AGENT.*
*A:Husababishwa na mlundikano mkubwa wa kundi la kuku Kwa eneo na kiasi cha mwanga kuwa mkubwa.*
*B:Kutikuwepo kwa Uwiano wa virutubisho katika chakula kama vile madini, vitamins, n.k*
*C:Kuacha kuku waliokufa kila siku.*
*D:Kuchanganya pumba ktk chakula*
*DALILI.*
*—vidonda katika sehemu zisizo na manyoya.*
*—kuku kudonoana*
*—kunyonyoka. manyoya.*
*TIBA NA KUZUIA*
*-Kuwapa chakula chenye virutubisho sawia*
*-Usichanganye Pumba ktk chakula*
*-kuwapa kuku vitamin mda wote*
...................................................................................................................................................
0 comments:
Post a Comment