LISHE YA KUKU NA KUCHANGANYA CHAKULA
LISHE YA KUKU:
Ili kuku waweze kuishi, kukua vizuri, kunenepa na
kutaga mayai mengi ni lazima wale chakula kingi na chenye ubora
unaotakiwa. Uwingi na ubora wa lishe ya kuku unaweza kuainishwa katika makundi ya vyakula kama ifuatavyo:
1. Vyakula vya kutia nguvu
2. Vyakula vya kujenga mwili
3. Vyakula vya kuimarisha mifupa
4. Vyakula vya kulinda mwili
5. Maji.
0 comments:
Post a Comment