•Maji na chakula kilichochafuliwa na kinyesi cha kuku wagonjwa na kwenye vimelea
•Kupitia mfumo wa hewa kutoka kuku wagonjwa
•Kupitia mayai, hivyo maambukizi huendelea kutoka kizazi hadi kizazi
•Kupitia mfumo wa hewa kutoka kuku wagonjwa
•Kupitia mayai, hivyo maambukizi huendelea kutoka kizazi hadi kizazi
Dalili/Condition
•Kuku kukoroma
•Kuku hutoa kamasi
•Kuku wanakohoa kwa muda mrefu, wiki hadi mwezi
•Kuvimba macho
•Kutingisha kichwa
•Vifo vya kuku vinaweza kufikia hadi asilimia 20
•Kuku hutoa kamasi
•Kuku wanakohoa kwa muda mrefu, wiki hadi mwezi
•Kuvimba macho
•Kutingisha kichwa
•Vifo vya kuku vinaweza kufikia hadi asilimia 20
Uchunguzi/Diagnosis
Mafua mazito zenye usaha uliotapakaa kwenye pua, koromeo, mapafu na vifuko vya hewa
Tiba/Treatment
Madawa aina ya sulfa na antibiotiki, i.e Tylodox e.t.c
Madawa aina ya sulfa na antibiotiki, i.e Tylodox e.t.c
0 comments:
Post a Comment